HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 23, 2011

UVAAJI WA KOFIA ZA KIUSALAMA KWA WAENDESHA PIKIPIKI

Hivi kwa mfano huyu jamaa amepata ajali na hiyo pikipiki yake halafu kofia ndio kama hivyo ilivyovaliwa na sura haionekani,ni nini kitatokea hapo endapo wasamalia wema watakuwa wamejitokeza kili mkumsaidia??? Maana mambo mengine watu wanajifanyia kiholela tu bila hata ya kufahamu ni madhara gani yatatokea mbele yake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad