HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 14, 2011

January Makamba akiwa mzigoni katika cheo chake kipya cha kichama

Katibu wa CCM Idara ya siasa na Mahusiano ya kimataifa Mh. January Makamba katikati akizungumza na Mabalozi,Kulia Balozi wa Japani Hiroshi Nakagawa,Balozi wa Uswisi Adrian Schlapfer,na Balozi wa Norwegian Ingunn Klepsvik kulia kwake akiwa amefuatana na katibu wa ubalozi Veslemoy Lothe Salvesen.
Katibu wa CCM Idara ya siasa na Mahusiano ya kimataifa Mh. January Makamba akiongea na mabalozi hao

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad