HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 14, 2011

WATANZANIA 64 WALA NONDOZZ UNIVERSITY OF MYSORE - INDIA

Mdau Mwinga akisoma risala kwa niaba ya wote waliokula Nondozzzz. Watanzania wapatao 64 wamekula nondozz chuo kikuu cha mysore india katika shahada za BCOM,BBM,LLB,BSC na BA na mmoja mastaz ya statistics.
Mdau Amani Masue (shoto) akiwa na wenzie baada ya kula nondozzz Chuo Kikuu cha University of Mysore, India
Baadhi ya wadada warembo wakipozi kwa picha mara baada ya kula Nondozzzz zao Mysore
Wadau wakifurahi baada ya kula Nondozzzz.

kwa picha zaidi za waliokula nondozz

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad