HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 19, 2011

HIVI NI KWANINI HILI SHIMOZZ LA HAPA NYUMA YA SHOPPERS PLAZA HALIFUKIWI MPAKA LEO

maana ni takribani mwezi na zaidi sasa tangu kuchimbwa kwa hili shimozz,sasa sijui ni kwanini halifukiwi mpaka leo?? na kama walilichimba halafu wakaona wamechemka kwanini walingelifukia basi??ona magari yanavyopita kwa shida hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad