Magari yaliyobeba mitambo ya kufua Umeme ya Kampuni ya Songas yakiwa yamepaki nje ya Kampuni hiyo tayari kwa kuingizwa ndani. Mitambo hiyo iliyobebwa na Magari hayo inadaiwa ni moja ya jitiada za kampuni hiyo ya Songas ya kuanza kuzalisha umeme baada ya mitambo ya Dowans kuzimwa na kusababisha tatizo la umeme ambao bado ni tete hadi sasa kutokana na mgao unaoendelea usiojulikana mwisho wake.Picha na Sufian Mafoto Blog
Thursday, March 3, 2011

Home
Unlabelled
songas kuokoa jahazi la umeme nchini lisizame???
songas kuokoa jahazi la umeme nchini lisizame???
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment