
picha hii nimetumiwa na Mdau aliopo huko nanihii ambapo katika pita pita zake mitaa ya huko alikutana na sekeseke hili la jamaa akimtia vidafu mai waifu wake.sasa sijui ilikuwaje kuwaje mpaka ikafikia hivi??maana kule pembeni kula msela katulia anapiga msosi kana kwamba haoni mbilinge mbilige hili.jamani maisha haya yamepitwa na wakati yatupasa tubadilikeeeeeeeee..........
Nafikiri hawa wana Joke ukitizama Sura ya pembeni ya mwanaume utaona ana Cheka na yule Njemba kule anakunywa Chai babu sizani kama angekubali... Ila Pia hizi Tabia zipo kule Mwanza hii si ya kweli.
ReplyDelete