
hii ni shoo ya kipekee kabisa kutokea katika maswala mazima ya burudani,hivyo hutakiwa kukosa siku hiyo kwani ukikosa ujue hakuna wa kuja kukuhadidhia.fika mwenyewe uweze kupata burudani kabambee kabisa.
kiilingili ni buku 10,000 tu.
nyoote mnakaribishwa.
No comments:
Post a Comment