
"eeehhh.... yaani ilibaki hivi tu niingine humu,si unaonaaa mwenyewe lilivyokubwa??" mzee wa Mtaa Kwa Mtaa nusura aanze kusitisha zoezi la kuzura mitaani maana ilibaki kidogo apige mbizi katika hilo shimozz wakati akisaka taswirazzz za Mtaa Kwa Mtaa.Daahh sijui ingekuwaje kama ingekuwa saa hizi yuko hospital??

daahhh.... hebu cheki ndani kulivyo,huyu jamaa wa Mtaani angepona kweli jamani??hili andaki liko pale nje ya jengo la Milleniam Tower katika ile sehemu ya kuegeshea magari,wahusima msaada tutani maana wakitokea wakina mimi kadhaa basi ujue huko muhimbili kutajaa haraka sana.
Alafu wanaweza kuuwa walevi Tehtehteh Hatari hapo unaweza kudumbukia ukachukuliwa na maji ukanasa kwenye tope katikati huko.
ReplyDeleteUtadhani tumelogwa vile Tanzania au tunajiloga wenyewe? natamani niwapige ngumi na makofi wote wanaohusika. Huu ni uzembe kabisa!
ReplyDelete