Mambo vipi Mzee wa Mtaa Kwa Mtaa,
eehh bwana fanya msaada tutani kuniwekea gari hili katika wanja letu la kujidai (Blogu Yetu) ili wadau waweze kulicheki na waweze kufika bei.
bei yake ni milioni 14 tu(14,000,000/=) fedha taslim za kiTz. mkuu limetumika kidogo sana hapa bongo na liko katika hali nzuri sana tu kama lionekanavyo pichani hapo.
WASILIANA NA;
PROSPER TENGA (SEKAO)
CELL 0713 777 404
AURELIA BARAKA
CELL 0654 085 087
0782 985 177
0786 544 251
eehh bwana fanya msaada tutani kuniwekea gari hili katika wanja letu la kujidai (Blogu Yetu) ili wadau waweze kulicheki na waweze kufika bei.
bei yake ni milioni 14 tu(14,000,000/=) fedha taslim za kiTz. mkuu limetumika kidogo sana hapa bongo na liko katika hali nzuri sana tu kama lionekanavyo pichani hapo.
WASILIANA NA;
PROSPER TENGA (SEKAO)
CELL 0713 777 404
AURELIA BARAKA
CELL 0654 085 087
0782 985 177
0786 544 251
No comments:
Post a Comment