HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 26, 2010

Flava Nite @ Mzalendo Pub Wikiendi Hii

mshindi wa kata nyonga akiwa na zawadi yake ya Wine mbele ya bango la wadhamini wakuu wa Flava Nite ndani ya Mzalendo pub jumamosi hii.
Dj Don akiwakilisha zawadi ya Wine kwa mshindi wa siku hiyo
mwaga radhi kama kawa
hapo sasamwendo wa kuduarika
old skul
kama wanacheza baishoo vileee
kitu cha kwaito toka bondeni
ni mwendo wa stepu tuu,kama huwezi kuenda sambamba na wenzako lazima utoke
mwendo wa kwaitoo tuu hapa.
yenu la ukweli likisakatwa na wadau.haya mambo hupatikana sehemu moja tu hapa jijini Dar katika kila jumamosi ya wiki,napo ni Mzalendo pub katika usiku wa Ladha za ukweli hivyo kama ulikosa jumamosi hii jitahidi isikupite jumamosi ijayo.Flava Nite

1 comment:

  1. poa babu yake babu kubwa naona bongo imechangamka wewe mwenyewe tu upende kujibweteka home viwanja kibao inavutia ipo siku nikitia team bongo nitahudhuria wape hi wadau wote wa flave nite, si mbaya pia kama ukizungukia na viwanja vingine pia

    ReplyDelete

Post Bottom Ad