HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 21, 2010

Duka La Viombo Litembealo

hii gari linatumika kama duka la kuuzia viombo vya ndani na huwa linasimama popote pale ambapo kuna uwingi wa watu na kuanza kuendeleza mambo kama lilivyokutwa na kamera ya Mtaa Kwa Mtaa jioni ya leo pale Kijitonyama.sasa sijui na yeye ana leseni kama zile walizonazo wenye maduka yaliyopo kule kariakoo na kwingineko????

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad