HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 14, 2010

Makamuzi Ya Flava Nite @ Mzalendo Pub Wikiendi Hii Ndani Ya Mzalendo Pub,Wadau Kibao Walikuwepo Wikiendi Hii

Dj Venture akiteta jambo na Mwana Fa
Dj Bon Love akikamua Madudezz
Mdau Tom akiwa na Shemeji yetu katika makamuzi ya Flava Nite pale Mzalendo Pub
Bon Venture Akia na Urio ambaye ni mdau mkuu wa timu ya Washika Bunduki (Arsenal ) kwa hapa Bongo,ndani ya Flava Nite
mie nikiwa na Banana Zorro pamoja na Mdau.
Dj Bon Love akiwa washkaji zake
aaahhh.... Kaka God,kumbe na wewe upo ndani ya wanja hili??Mshkaji wangu God (kati) akiwa na marafiki zake.
Vichwa makini,toka shoto ni Dj Oscar,Mie wa Mtaani,Mwana Fa,Arnold Kayanda kwa Clouds Fm pamoja na Mshindi wa Tasker Project Fame, Alpha Rwirangira wote kwa pamoja tukiwakilisha ndani ya Flava Nite @ Mzalendo Pub
Dj Bon akiwa na Marafiki zake
Dj Mackay akikamua madude ya Ukweli
Venture na Warembo
Kitenge na mshkaji wake
....hawa nao sijui wanaelekezana nini??.ni Cathbert Kajuna na Arnold Kayanda
Washkaji kibao hufika pale Mzalendo Pub kujiachia katika Flava Nite.
Bon Love akiwa na washkaji.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad