
Kwa kweli timu ya Simba ilistahili kabisa kunyakua ubingwa huu kwani ilikuwa imejiweka vizuri sana katika msimu tofauti kabisa na mahasimu wao Yanga Sc ambao wao walianza ligi kwa kusua sua sana.hivyo sina budi kutoa pongezi zangu zilizo zadhati kabiwa kwa timu hii ya Simba SC iliyo na makao yake pale mtaa wa Msimbazi.kama nawaona vile kina Mroki Mroki,John Bukuku,Clifold Ndimbo,Mdau Pazi na wengine kibao ambao ni wanazi wakuu wa chama hili na Wekundu wa Msimbazi.
No comments:
Post a Comment