HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 26, 2010

Baraza La Kiswahili La Taifa (BAKITA) Lazinduliwa Leo

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mh.George Mkuchika akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) ulifanyika katika ukumbi wa Mikutano wa DICC leo.wengine ni Dk.Anna Kishe Katibu mtendaji (BAKITA) kulia na Kutoka kushoto ni Prof. Hermas Mwansoko pamoja na Suleiman M.Hegga mwenyekiti (BAKITA).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad