HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 21, 2010

Raha Ya Mzalendo Pub

Dj Venture akiwa na wadau ndani ya Flava Nite @ Mzalendo Pub
Wadada warembo (shoto) ni Shamsa Ford akiwa na Zamaradi Mketema ndani ya Flava Nite @ Mzalendo Pub.
Dj Venture (shoto) akina na mdau Junior pamoja na Mtangazaji wa Clouds 88.4 Fm,Adam Mchomvu.
aaahhh...... Ventureeeee.......
Mkuu Bon Love (kati mwenye fulanazz nyeupe) akiwa na wadau.
Dj Venture akiwa na Mwanamuziki T.I.D (kulia) pamoja na mdau.
mwanalibeneke King Kif (kulia) akiwa na wadau wakuu wa muziki hapa bongo.
Dj Bon Love na Dj Mackay wakinionyesha nondozz yao ya kazi,yaani ni Full mziki mpaka kuchee Dj Mackay Mzigoni katika libeneke la Mduariko.
Mkuu Kitenge nae dimbani.

mziki ukikolea hakuna anaetaka kubaki kitini tena,yaani wote ni lazima wazame kati kuonyesha mambo yao.nakwambia kama hujawahi kuingia hapa Mzalendo pub basi utakuwa umepitwa na mengi,hivyo fanya hima walau uweze fika hapa jumamosi moja uone mambo yake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad