HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 13, 2009

libeneke la gari za taka na njia zetu

kumekuwepo na malalamiko makubwa sana juu ya haya magari ya taka jinsi yanavyokuwa yanapaki wakati wa kuchukua taka katika maeneo husika,na tatizo kubwa ni kwamba huwaga wanakaa katikati ya njia na kuyafanya magari mengine yashindwe kuendelea kupita kama picha hii inavyoonyesha katika mtaa wa Kaluta.sasa sijui ni nini kifanyike ili kuweza kutokomeza kabisa tatizo hili?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad