HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 20, 2009

hotspot internet cafe yaja kivingine ndani ya jm mall

meneja wa hotspot internet cafe iliyopo ndani ya jengo la JM Mall,Ndugu Kenny akimsikiliza mteja wake kwa umakini mkubwa
mteja wa hotspot akianza kuperuzi mambo yake mtandaoni
hii ni mandhari ya kisasa kabisa ndani ya hotspot internet cafe
sehemu ya stationary inavyoonekana ndani ya hotspot internet cafe iliyomo ndani ya jengo la JM Mall ambalo kwa sasa linafahamika kama Harbourview Tower lililopo katika mtaa wa Samora av/Morogoro rd,ubavuni mwa jengo la P.P.F House
uweza watembelea pia katika mtandao wao unaokwenda kwa jina la www.hotspot-tz.net ,au kwa kuwatwangia kupitia namba hizi 0773 633 736

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad