kumekuwa na tatizo kubwa sana katika makutano ya barabara ya kinondoni na ally hassani mwinyi rodi kwa takribani wiki kadhaa sasa,lakini nilipotita jana nimekuta kuna mafundi wanamalizia kuweka taa hizo na kuendeleza libeneke kama ilivyokuwa hapo awali.nafikili ujumbe uliwafikia wahusika na wakaamua kuufanyia kazi.
nashukuru sana mkuu Makulilo jr kwa ushauri wako na pia kwa mkuu MK kwani yeye ndie alieniwezesha zaidi kurudi huku kwa nguvu zote mara baada ya kunifanyia marekebisho katika mtaa huu.nashukuru sana kwa kunitembelea mkuu Makulilo Jr.
Othmani,
ReplyDeleteHakuna tatizo ndugu kurudi kwenye libeneke hili la zamani la blogspot, sasahivi imekua bomba sana kuliko kule kwenye wordpress.
Tupo pamoja ndugu.Mungu akupe nguvu ya kuendeleza libeneke hili.
MAKULILO Jr,
www.makulilo.blogspot.com
nashukuru sana mkuu Makulilo jr kwa ushauri wako na pia kwa mkuu MK kwani yeye ndie alieniwezesha zaidi kurudi huku kwa nguvu zote mara baada ya kunifanyia marekebisho katika mtaa huu.nashukuru sana kwa kunitembelea mkuu Makulilo Jr.
ReplyDeletepamoja libenekeni mkuu.