HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 29, 2009

ilivyokuwa leo huko mbagala baada ya ghala la mabomu kulipuka

penye zali kama hili vibaka hawakosekani. hawa wamedakwa wakisaidia kuanua nguo zilizoachwa nyuma wakati wenye nazo wametoka nduki kwa mlipuko uliokuwa ukiendelea huko Mbagala leo.
watu waliofika eneo la tukio wakiangalia mabaki ya mojawapo ya mabomu yaliyoruka umbali wa kilomita nne na kutua sehemu za mbagala kizuiani. ni moja ya takriban ya mabomu 12 yaliyolipuka na kutua uraiani.

hivi ndivyo ilivyokuwa barabara ya mbagala leo askari wa zima moto na walifika eneo la tukio lakini hawakuweza kufanya lolote kutokana na hali ilivyokuwa katika eneo hilo. wakazi wa maeneo ya Mtoni Mtongani wakiwa juu ya daraja la mtoni wakiangalia mambo yanavyoendelea huko Mbagala.kwa picha zaidi zama hapa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad