HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 17, 2025

Rais Dkt. Samia Akutana na Kuzungumza na Balozi wa Kenya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Ikulu Jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba 2025. Balozi wa Kenya Mhe. Isaac Njenga alifika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga Mhe. Rais Dkt. Samia ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia kuimarika kwa uhusiano wa kibiashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Kenya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad