
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea zawadi ya picha ya kuchora yenye taswira yake wakati wa zoezi la uzinduzi wa Kampeni ya Soma na Mti kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo lililofanyika jana katika shule ys Sekondari Karibuni wilayani Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipanda mti kuashiria uzinduzi wa Kampeni ya Soma na Mti kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo lililofanyika jana katika shule ys Sekondari Karibuni wilayani Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)
No comments:
Post a Comment