HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 17, 2021

Rais Samia akutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza na viongozi wengine wa makampuni mbalimbali

 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza Mhe. Boris Johnson, anyeshugulikia masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzani Bw. Lord Walney mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Novemba 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwenyekiti wa Mabenki ya Umoja wa Afrika (UBA) Dkt. Tony Elumelu, mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Novemba 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Ujumbe kutoka Kampuni ya DP World uliongozwa na Mwenyekiti wa Kampuni hiyo kutoka Falme za Kiarabu (UAE) Bw. Sultan Ahmed Bin Sulayem, wakati Ujumbe huo ulipofika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Novemba 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya mtandao na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Equinor Anders Opedal, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad