HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 26, 2021

VIONGOZI WA KLABU YA SIMBA WATEMBELEA OFISI ZA TTB

 

 

Mkurugenzi wa Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania,  Mindi Kasiga (Kulia) akitoa maelezo kwa Afisa Mtendaji Mkuu  wa Klabu ya Simba,  Barbara Gonzalez  akiwa pamoja na Msemaji wa Klabu hiyo, Haji Manara,  kuhusiana na  majukumu ya Bodi ya Utalii Tanzania na jinsi watakavyoweza kushirikiana katika  kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini kupitia michezo.

Katika picha ya pamoja wakati wa mazungumzo

……………………………………………………………….

Viongozi wa timu ya Mpira wa miguu ya Klabu ya Simba, leo tarehe 25/1/2021 wametembelea ofisi za Bodi ya Utalii Tanzania  (TTB) jijini Dar es Salaam kwa lengo kuangalia namna watakavyoweza kushirikiana na Bodi katika kutangaza utalii wa Tanzania kupitia Michezo. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa TTB.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad