Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma, Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), akijibu swali Bungeni kabla ya kuwasilishwa kwa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, Bungeni Jijini Dodoma.
Manaibu Katibu Wakuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Mary Maganga (kushoto) na Bw. Adlof Ndunguru, wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, yaliyokuwa yakiwasilishwa Bungeni na Kambi ya Upinzani, bungeni Jijini Dodoma.
Wakuu wa Idara na Taasisi za Wizara ya Fedha na Mipango, wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto) akipeana mkono na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango. Bi Mary Maganga baada ya kuwasilishwa kwa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kushoto), Manaibu Katibu Wakuu wa Wizara hiyo. Bi Mary Maganga (kushoto) na Bw. Adlof Ndunguru (kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara hiyo Bw. Benny Mwaipaja, wakijadili jambo baada ya kuwasilishwa kwa Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/21, Bungeni Jijini Dodoma.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango)
No comments:
Post a Comment