HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 2, 2019

RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA HOSPITALI, AZUNGUMZA NA WANANCHI WA INYALA, IGURUSI, MSWISWI NA CHIMALA WAKATI AKIELEKEA MBARALI MKOANI MBEYA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Uamsho wa Wakristo Tanzania (UWATA) iliyopo Mwakibete jijini Mbeya ambayo inatoa huduma za afya kwa mkoa wa Mbeya pamoja na nchi jirani za Zambia na Malawi.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Mbeya, Wabunge, Mawaziri, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Uamsho wa Wakristo Tanzania (UWATA) iliyopo Mwakibete jijini Mbeya ambayo inatoa huduma za afya kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya pamoja na nchi jirani za Zambia na Malawi.

 Mandhhari ya hospitali ya UWATA iliyopo jijini Mbeya ambayo inatoa huduma za afya kwa mkoa wa Mbeya pamoja na nchi jirani za Zambia na Malawi.



  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waliofika katika uzinduzi wa Hospitali ya UWATA jijini Mbeya mara baada ya kuizindua.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Inyala wakati akiwa njiani kuelekea Igurusi mkoani Mbeya.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mswiswi wakati akiwa njiani kuelekea Chimala.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Igurusi hawaonekani pichani mara baada ya kuwasili katika eneo hilo akitokea jijini Mbeya.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Chimala Wilayani Mbarali mkoani Mbeya. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad