HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 2, 2019

YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Kikosi cha Yanga kimewasili Visiwani Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi lililoanza kutimua vumbi Januari Mosi 2019 na kufikiwa tamati Januari 13, 2019.

Kikosi hicho kinaongozwa na Kocha Msaidizi wa Yanga Noel Mwandila akisaidiwa na Kocha wa timu ya Vijana Said Maulid 'SMG', daktari wa timu Edward Bavu, Meneja wa timu  Nadir Haroub "Canavaro" na  Mohamed Ali.

Yanga watashuka dimbani kesho saa 2.15 wakiumana na KVZ ukiwa ni mchezo wa kwanza kwenye mashindano hayo kwenye dimba la Amani Zanzibar. Wachezaji hao ni 


1. Maka Edward

2. Haji Mwinyi
3. Said Makapu
4. Matheo Anthony
5. Erick Msagati
6. Deo Mkami
7. Ibrahim Abrahaman
8. Ibrahim Ahmed
9. Deus Kaseke
10. Mustapha Seleman
11. Abuu Shaban
12. Ramadhan Mrisho
13. Mohamed Salumu
14. Cheda Hussein
15. Yasini Salehe
16. Salumu Mkama
17. Faraji Kilaza
18. Bakari Athman
19. Said Khasimu
20. Shaban Mohamed
21. Jafari Mohamed
22. Pius Buswita
23. Juma Abdul 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad