HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 7, 2019

IGP Simon Sirro akutana na kufanya mazungumzo na Brigedia Jenerali, Itai Veruv wa Israel

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea zawadi kutoka kwa Brigedia Jenerali Itai Veruv wa Israel baada ya kukutana na kufanya mazungumzo, Makao makuu ya Jeshi la Polisi ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya usalama. picha na jeshi la polisi.
Brigedia Jenerali Itai Veruv (katikati) akizungumza na Balozi wa Israel nchini Noah Gal Gendler kutoka kushoto Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Walipofika makao makuu ya Jeshi la Polisi kwa ajili ya mazungumzo. picha na jeshi la polisi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad