HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 20, 2018

Serikali Yaipongeza MUWSA kwa kuwa Mamlaka Bora ya Maji Mashariki na Kusini mwa Afrika

 Katibu Mkuu Wizara ya Maji Prof.Kitila Mkumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kuipongeza Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Mjini Moshi  kuwa Mamlaka bora ya maji  Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika leo Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo  Joyce Msiru.
  Katibu Mkuu Wizara ya Maji Prof.Kitila Mkumbo akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kuipongeza Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Mjini Moshi  kuwa Mamlaka bora ya maji  Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika leo Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo Joyce Msiru.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa  Mazingira Mjini Moshi  Joyce Msiru (Kushoto) akizungumza mara baada ya kupokea pongezi za Serikali kwa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Mjini Moshi  kuwa Mamlaka bora ya maji  Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika leo jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo. (Picha na: Shamimu Nyaki - WHUSM)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad