HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 29, 2018

BENKI YA CRDB YAZINDUA KAMPENI YA “Twende9teen” JIJINI DAR LEO

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na baadhi ya watoto na wazazi waliofika katika Tamasha la “Twende9teen” lilioandaliwa na Benki ya CRDB kupitia akaunti za “Junior Jumbo” na “Young Money Teens”, lililolenga kuwahamasisha wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti na kuwawekea akiba ili kutimiza ndoto za watoto wao hususani katika nyanja ya elimu, Tamasha hilo limefanyika leo katika viwanja vya Mlimani City, jijini Dar es salaam ambapo Watoto walipata fursa ya kucheza michezo mbalimbali iliyoandaliwa kwa ajili yao. Walioketi kushoto ni Naibu Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Joseph Witts pamoja na Esther Kitoka.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na baadhi ya watoto na wazazi waliofika katika Tamasha la “Twende9teen” lilioandaliwa na Benki ya CRDB kupitia akaunti za “Junior Jumbo” na “Young Money Teens”, lililolenga kuwahamasisha wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti na kuwawekea akiba ili kutimiza ndoto za watoto wao hususani katika nyanja ya elimu, Tamasha hilo limefanyika leo katika viwanja vya Mlimani City, jijini Dar es salaam ambapo Watoto walipata fursa ya kucheza michezo mbalimbali iliyoandaliwa kwa ajili yao.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) pamoja na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Esther Kitoka wakishiriki kuwafunguliwa watoto zawadi za pipi, katika Tamasha la “Twende9teen” lilioandaliwa na Benki ya CRDB kupitia akaunti za “Junior Jumbo” na “Young Money Teens”, lililolenga kuwahamasisha wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti na kuwawekea akiba ili kutimiza ndoto za watoto wao hususani katika nyanja ya elimu, Tamasha hilo limefanyika leo katika viwanja vya Mlimani City, jijini Dar es salaam ambapo Watoto walipata fursa ya kucheza michezo mbalimbali iliyoandaliwa kwa ajili yao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akijaza fomu ya kuweka hela kwenye akauti ya Junior Jumbo katika gari maalum la Benki ya CRDB wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Twende 9nteen JJ leo katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akimuuliza swali mmoja wa watoto katika Tamasha hilo.

























No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad