HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 2, 2018

ZANZIBAR YAADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA WAZEE DUNIAN

 : Waziri  wa Fedha na Mipango Dkt. Khalid Salum Mohammed akizungumza na Wazee katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
 Waziri wa Kazi, Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto Maudline Castico  akimkaribisha Mgeni rasmi Dkt. Khalid Salum Mohammed katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
 Baadhi ya Wazee waliohudhuria katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad