: Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Khalid Salum Mohammed akizungumza na Wazee katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Waziri wa Kazi, Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto Maudline Castico akimkaribisha Mgeni rasmi Dkt. Khalid Salum Mohammed katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Baadhi ya Wazee waliohudhuria katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment