HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 28, 2018

MTOTO WA MIAKA TISA APOTEA DAR, NI BAADA YA KWENDA SHULENI HAKURUDI TENA

Na Ripota Wetu,Globu ya jamii
MTOTO  anayetambulika kwa jina la Thomas Rwembiza Renatus(9)  anayesoma darasa la pili  Shule ya Msingi Kilungule jijini Dar es Salaam amepotea na hajarudi nyumbani tangu juzi.

Imeelezwa kuwa mtoto huyo anaishi Kimara Bonyokwa mtaa wa Mavurunza na kwamba amepotea  Septemba 26 alivyotoka asubuhi saa nne kuelekea shule.

 Tayari familia ya mtoto huyo imetoa ripoti Polisi na kupewa  RB.

Baba wa  mtoto huyo amesema kwa atakayemuona atoe taarifa kituo chochote cha Polisi au awasiliane naye kwa namba ya simu 0652066366

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad