HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 27, 2018

CBA BANK, DMF WATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA AJILI YA WATOTO NJITI HOSPITALI YA WILAYA YA SAME

 Waziri wa Madini na Mlezi wa Taasisi ya Doris Mollel, Angellah Kairuki (wa tatu kushoto), Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Senyamule (katikati) pamoja na Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa wateja binafsi wa benki ya CBA Tanzania, Julius Konyani (wa pili kushoto) wakiungana na watu wengine kumsikiliza Afisa Muuguzi Msaidizi wa Hospitali ya Wilaya ya Same, Entuja Mbwambo wakati akionyesha namna ya kutumia mashine maalum ya kumsaidia mtoto aliyezaliwa kabla ya wakati (Njiti) kupumua vilivyotolewa na Benki ya CBA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel kwa hospitali hiyo, ambavyo thamani yake ni zaidi ya shilingi 20 milioni.
Waziri wa Madini na Mlezi wa Taasisi ya Doris Mollel, Angellah Kairuki pamoja na Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa wateja binafsi wa benki ya CBA Tanzania, Julius Konyani wakishirikiana kupanda mti katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Same, muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 20 milioni, vilivyotolewa na Benki ya CBA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel kwa hospitali hiyo kwa ajili ya kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti).
Waziri wa Madini na Mlezi wa Taasisi ya Doris Mollel, Angellah Kairuki pamoja na Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa wateja binafsi wa benki ya CBA Tanzania, Julius Konyani  wakimsikiliza Mganga Mkuu wa wilaya ya Same, Dkt Godfrey Andrew wakati akifafanua jambo kuhusu vifaa vita alivyovipokea Hispitalini hapo, vilivyotolewa na Benki ya CBA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel kwa ajili ya kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti).
Waziri wa Madini na Mlezi wa Taasisi ya Doris Mollel, Angellah Kairuki pamoja na Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa wateja binafsi wa benki ya CBA Tanzania, Julius Konyani, wakimjulia hali mtoto Amani John aliyelazwa katika wadi ya watoto ya Hospitali ya Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro aliyepata ajali ya kuungua na moto.





Waziri wa Madini na Mlezi wa Taasisi ya Doris Mollel, Angellah Kairuki pamoja na Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa wateja binafsi wa benki ya CBA Tanzania, Julius Konyani wakishirikiana kupanda mti katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Same, muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 20 milioni, vilivyotolewa na Benki ya CBA Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel kwa hospitali hiyo kwa ajili ya kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti).






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad