HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 28, 2018

BUNGE LA EALA NA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WATOA RAMBIRAMBI KUFUATIA AJALI YA MV NYERERE

Spika wa Bunge Job Y. Ndugai (Mb), (kushoto) akimsilikiliza Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Alhaji Adam Kimbisa wakati wa makabidhiano ya kiasi cha Shillingi Milioni 8,550,000 kwa niaba ya Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki ikiwa ni rambirambi kufuatia ajali ya kivuko cha Mv Nyerere. Kulia ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Y. Ndugai (Mb), akipokea shilingi Milioni 8,550,000 kutoka kwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mheshimiwa Alhaji Adam Kimbisa kwa niaba ya Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki ikiwa ni rambirambi kufuatia ajali ya kivuko cha Mv Nyerere. Bunge la Jamahuri ya Muungano pia limetoa rambirambi yake kiasi cha Sh. milioni 86

Spika wa Bunge akisisitiza jambo mbele ya wanahabari baada ya kupokea rambirambi kutoka kwa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Shillingi Milioni 8,550,000 ikiwa ni rambirambi kufuatia ajali ya kivuko cha Mv Nyerere zilizowasilishwa na Mheshimiwa Alhaji Adam Kimbisa (kushoto) .Bunge la Jamahuri ya Muungano pia limetoa rambirambi yake kiasi cha Sh. milioni 86.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad