Afisa Habari Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ally Changwila
Akizungumza na Mmoja wa Watu Waliofika Katika Banda la Maonesho la
Mamlaka Katika Viwanja vya Themi Jijini Arusha. Kulia ni Bestina
Magutu, Ambaye Pia ni Afisa Habari wa TCAA.
Afisa Habari Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu
Akizungumza na Mmoja wa Watu Waliofika Katika Banda la Maonesho la
Mamlaka Katika Viwanja vya Themi Jijini Arusha. (Kushoto) ni Ally
Changwila, Amba pia ni Afisa Habari TCAA.
Muongoza Ndege Mwandamizi Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ahmed Abeid Akizungumza na Watu Waliofika Katika Banda la Maonesho la Mamlaka Katika Viwanja vya Themi Jijini Arusha.
No comments:
Post a Comment