Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid katika promosheni ya
kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani (kushoto) Mkazi
wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, akionyesha funguo za gari
pamoja na kadi ya gari hilo mara baada ya kukabidhiwa na Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi wakati wa
hafla ya kumkabidhi iliyofanyika katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala
jijini Dar es alaam. Yamebakia magari matano ili kushinda mteja wa
Vodacom anatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (wa pili
kushoto) akimpongeza mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la
promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani
wakati wa hafla ya kumkabidhi gari lake iliyofanyika katika Viwanja
vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam. Yamebakia magari matano ili
kushinda mteja wa Vodacom unatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu. Kushoto
ni Mkuu wa kitengo cha maendeleo ya Biashara wa M-Pesa, Polycarp
Ndekana na Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa
kampuni hiyo Jacquiline Materu.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (kulia)
akimwelekeza namna ya kufungua mlango wa gari mshindi wa gari la
tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya miaka kumi ya M-Pesa,
Salum Chande Athumani mara baada ya kumkabidhi wakati wa hafla
iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Yamebakia magari matano ili kushinda mteja wa Vodacom unatakiwa kutumia
huduma ya M-Pesa tu.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (kulia)
akimshuhudia, mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la
promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa Salum Chande Athumani,
akifungua mlango wa gari mara baada ya kumkabidhi wakati wa hafla
iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (kulia)
akimuonyesha ufunguo mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la
promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani
wakati wa hafla ya kumkabidhi gari lake iliyofanyika katika viwanja vya
Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid katika promosheni ya
kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa,Salum Chande mkazi wa Mbagala Rangi
Tatu (aliyekaa ndani ya gari) akishuhudiwa na mama yake mzazi wa pili
kushoto wakati akipongezwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom
Tanzania Plc, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kumkabidhi iliyofanyika
katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es alaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (kulia)
akishuhudia familia ya mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid
la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande
Athumani akiwa amebebwa juu kwa furaha ya ushindi wakati wa hafla ya
kumkabidhi gari lake iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala
jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Plc,
Jacquiline Materu akiongea wakati wa hafla ya kumkabidhi gari aina ya
Renault Kwid la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa mkazi
wa Mbagala Rangi Tatu, Salum Chande Athumani, iliyofanyika katika
Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam, wapili kushoto ni
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi. Kushoto
ni Mkuu wa kitengo cha maendeleo ya Biashara wa M-Pesa, Polycarp
Ndekana pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkuu wa kitengo cha maendeleo ya Biashara wa M-Pesa, Polycarp Ndekana
pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakimshangilia mshindi wa gari la
tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya
M-Pesa mkazi wa Mbagala Rangi Tatu, Salum Chande Athumani, wakati
alipokuwa akiingia katika viwanja vya Zakhiem jijini Dar es Salaam
kukabidhiwa gari lake.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (wanne
kushoto) akiwa na wafanyakazi wenzake katika viwanja vya Zakhiem
Mbagala jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kumkabdhi mshindi wa
gari la tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya miaka kumi ya
M-Pesa, Salum Chande Athumani ambaye ni mkazi wa Mbagala Rangi Tatu
(hayupo pichani )
Wakazi wa maeneo ya Mbagala Kuu na viunga vyake wakiwa katika viwanja
vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kumkabdhi
mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya
kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani ambaye ni mkazi
wa Mbagala Rangi Tatu (hayupo pichani )
Mmoja wa vijana mtaalam wa kuchezea baiskeli akionesha umahili wakati
wa hafla ya kumkabidhi mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid
la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande
Athumani mkazi wa Mbagala Rangi Tatu (hayupo pichani ).
Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani mkazi wa Mbagala Rangi Tatu (katikati) akiwa na mama yake mzazi wakipagawishwa na msanii wa Singeli Msaga Sumu (wapili kulia) pamoja na kundi lake wakati wa hafla ya kumkabidhi gari lake iliyofanyika katika viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment