HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 6, 2018

VIONGOZI MBALIMBALI WAENDELEA KUTEMBELEA BANDA LA BUNGE KATIKA VIWANJA VYA SABASABA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana, Wazee na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama akizungumza na Maafisa wa Ofisi ya Bunge alipotembelea Banda lao katika Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba. Kulia ni Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Eng. Stella Manyanya.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana, Wazee na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Eng. Stella Manyanya  na Maafisa wa Ofisi ya Bunge alipotembelea Banda lao katika Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba.
 Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Adelardus Kilangi akisikiliza maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za Bunge kutoka kwa Mwandishi  Mwandamizi wa Taarifa Rasmi za Bunge Bw. Paston Sobha alipotembelea Banda lao katika Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba.
 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu Jenerali Mirisho Sarakikya akisikiliza maelezo kuhusu shughuli mbalimbali za Bunge kutoka kwa Mwandishi  Mwandamizi wa Taarifa Rasmi za Bunge Bw. Paston Sobha alipotembelea Banda lao katika Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndungulile akisaini Kitabu cha Wageni alipotembelea Banda la Bunge katika Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba.
PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad