HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 3, 2018

SSRA YATOA MSAADA KWA WAZEE WA KITUO CHA KUHUDUMIA WAZEE CHA FUNGAFUNGA, MOROGORO

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika,  akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa SSRA kwa Msimamizi wa Kituo cha kuhudumia wazee cha Fungafunga, Yolanda Mkapa, kilichopo mkoani Morogoro.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika, akitoa maelezo kuhusu msaada ambao SSRA imeutoa kwa wazee wa Kituo cha Fungafunga, Morogoro hivi karibuni. 
Msimamizi wa Kituo cha kuhudumia wazee cha Fungafunga, Yolanda Mkapa (aliyesimama) akitoa utambulisho na kuwakaribisha wawakilishi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) ambao walifika katika Kituo cha kuhudumia wazee cha Fungafunga Mkoani Morogoro.
Mzee Joseph Kaniki, Mwenyekiti wa wazee Kituo cha Fungafunga akitoa shukrani kwa niaba ya wazee wenzake baada ya kupokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA).
Wazee wa Kituo cha Fungafunga wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad