HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 3, 2018

BREAKING: RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA BAADHI YA VIONGOZI WAKUU NA VIONGOZI WASTAAFU IKULU DAR ES SALAAM LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu Kiiongozi Balozi John Kijazi akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam ili kukutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya viongozi wakuu na viongozi wastaafu ambao anakutana nao kwa mara ya kwanza wote kwa pamoja.
Viongozi Wakuu wastaafu wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam tayari kukutana na kuzungumza na mwenyeji wao Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliyewaalika.
Viongozi Wakuu wastaafu wakimsikiliza Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza nao leo.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mtaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, John Samuel Malecela.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa David Msuya.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Spika Mstaafu, Pius Msekwa.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Spika Mstaafu, Anne Makinda.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mkuu Mstaafu, Jaji Barnabas Samatta.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mkuu Mstaafu, Jaji Augustino Ramadhan.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mkuu Mstaafu, Othman Chande 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu, Salim Ahmed Salim.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad