HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 6, 2018

MSHINDI WA 11 WA DROO YA SHINDA NA TEMBOCARDVISA AKABIDHIWA TIKETI YAKE

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi mfano wa tiketi ya mechi za Kombe la Dunia, Mshindi wa 11 wa droo ya Shinda na TemboCardVisa, David Hughes ambaye atasafiki kuelekea nchini Urusi kushuhudia moja ya mechi za robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Dunia 2018. makabidhiano hayo yamefanyika leo makao makuu ya Benki ya CRDB, jijini Dar es salaam.
Mshindi wa 11 wa droo ya Shinda na TemboCardVisa, David Hughes akizungumza jambo wakati akiishukuru Benki ya CRDB kwa kuendesha droo hiyo iliyompatia ushindi wa kwenda kushuhudia moja ya mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad