HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 6, 2018

Gari ya tatu ya M-Pesa yakabidhiwa Arusha, bado magari saba

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Richard Kwitega (katikati) akimkabidhi funguo za gari mshindi wa tatu wa gari aina ya Renault Kwid Mkomeni Ernest Mgonho (kulia) katika hafla ya kuwazawadia washindi wa M-Pesa kanda ya kaskazini baada ya kujishindia gari hilo katika bahati nasibu inayoendelea ya ‘Tumia M-Pesa ushinde gari’, kushoto ni mkuu wa Vodacom kanda ya Kaskazini Bigita Stephen.
Mke na mjukuu wa Bwana Mgomho wakishuhudia akikabidhiwa gari lake aina ya Renault Kwid na  Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Richard Kwitega(kulia) katika hafla ya kuwazawadia washindi wa M-Pesa kanda ya kaskazini.
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad