HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 29, 2018

SPRITE BBALL KINGS HATUA YA MCHUJO KUFANYIKA KESHO




Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

Michuano ya Sprite BBall Kings 2018 yanaanza kutimua vumbi kesho kwa michezo 25 kuchezwa katika hatua ya mtoano kwenye Viwanja vya Jakaya Kikwete Youth Park Kidongo Chekundu Jijini Dar es salaam.

Michezo hiyo katika hatua ya mtoano itazikutanisha timu 50 kutoka sehemu mbalimbali za Jijini Dar es Salaam ili kuweza kupata timu 15 zitakazoungana na bingwa mtetezi Mchenga BBall Stars walioingia moja kwa moja kwenye hatua ya 16 bora.

Michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya pili imeandaliwa na kituo cha Televishen cha East Africa na Radio yakidhaminiwa na kinywaji cha Sprite.

Mechi ya kwanza itaanza saa 2 asubuhi na mpaka kufikia 11 jioni michezo yote 25 itakua imemalizika na kupatikana timu zitakazoingia hatua inayofuata ya mchujo.a.

Mshindi wa kwanza anajinyakulia Shiling Milion 10 na kikombe, mshindi wa pili milion 3 na mchezaji bora wa miachuano anajinyakulia milion 2 na kikombe.


RATIBA YA MASHINDANO SPRITE BBALL KINGS 2018 HATUA YA MTOANO                                                                      TEAM VS TEAM
1. Dream Chaser  VS  Temeke Heroes
2. The Fighter  VS  Force One 
3. Flying Dribblers VS Kurasini Worriours
4. TMT VS Street Ballers
5. God With Us VS External Heroes
6. DMI VS Madale State
7. Ardhi Univ  VS The Kazi 8 Lycans
8. Ukonga Worriours VS Little Saints
9. Oysterbay VS Ilala East Zone
10. BTP  VS Grounders
11. Oratory VS Mbezi Beach KKKT
12. The Snipers VS Young Boys
13. Eagle Wings VS Portland
14. Goldernt Talents VS  Montfort Kings
15. Ukonga Hitmen VS Yombo Patriot
16. The Hashtag VS BV
17. Bankers VS Water Institute (W.I)
18. NIT Ballers VS Air Wings
19. Fast Heat VS Street Worriours
20. Stlylers VS Denthshoppers Bball Team
21. Loyolight  VS Kigamboni City
22. K Worriors Kijichi VS Team Kiza
23. Madena Ballers VS St Joseph
24. The Magic VS Raptors
25. Weusi Basket Ball Club VS Kichangani

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad