HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 24, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisoma dua ya kuliombea Bunge wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
Naibu Waziri-TAMISEMI Mhe. Joseph Kakunda akitolea ufafanuzi swala la mapato ya halmashauri kwa ajili ya kinamama na vijana wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Philip Mpango wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiteta jambo na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
 Wageni mbalimbali  wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu wakati wa kikao cha thelathini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma. Picha zote na Daudi Manongi, Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad