HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 6, 2018

WAZIRI MHAGAMA AZINDUA JENGO LA HUDUMA ZA MATUNZO NA TIBA KWA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI MANYARA

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama  akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI linalojengwa katika Halimashauri ya Wilaya ya Simanjaro ,Mkaoani  Manyara Mei 05, 2018.
 Mganga Mfawidhi Hassan Ishabailu akitoa ufafanuzi wa huduma za afya zinazotolewa na  Kituo cha Afya Mirerani kwa  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama  alipozindua Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na mmoja wa wagonjwa aliyekuwa akisubiri huduma za matibabu katika Kituo cha Afya Mirerani wakati wa Uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mei 05, 2018
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wakati wa Uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mei 05, 2018.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akiwapongea baadhi ya wazazi waliojifungua katika Kituo cha Mirerani Mkoani Manyara wakati wa Uzinduzi wa Jengo la jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) Dkt. Leonard Maboko akifafanua jambo wakati wa mkutano na wananchi wa Simanjiro (hawapo pichani) mara baada ya uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
 Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye ulemavu Wilayani Simanjiro Bw Robert Songa akieleza masuala yao kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wauzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
 Mwenyekiti wa UVCC mkoa wa Manyara, Moses Komba akieleza masuala ya vijana wa mkoa wa Manyara kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa Uzinduzi wa jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi yake anayeshughulikia Waziri Mkuu na Bunge Bi.Maimuna Tarishi wakati wa uzinduzi wa jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
Mbunge wa Viti Maalum Manyara, Mhe.Ester Mahawa akikabidhi msaada wa mashuka kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Mirerani kilichopo Wilaya ya Simanjiro kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama



(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad