HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 7, 2018

SPIKA NDUGAI AZUNGUMZA NA MKURUGENZI WA FEDHA KANDA MAALUM YA KIUCHUMI KUTOKA NCHINI GABON LEO MJINI DODOMA

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Mkurugenzi wa fedha kutoka Kanda Maalum ya kiuchumi nchini Gabon, Ndg. Aashutosh Agarwal (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Kata ya kivukoni, Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam Ndg. Sharik Choughule.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Mkurugenzi wa fedha kutoka Kanda Maalum ya kiuchumi nchini Gabon, Ndg. Aashutosh Agarwal (katikati) alieongozana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Kata ya kivukoni, Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam Ndg. Sharik Choughule (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Mkurugenzi wa fedha kutoka Kanda Maalum ya kiuchumi nchini Gabon, Ndg. Aashutosh Agarwal (katikati) alieongozana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya kivukoni, Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam Ndg. Sharik Choughule (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad