HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 24, 2018

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAMPONGEZA AGNES MGEYEKWA KUTEULIWA KUWA JAJI WA MAHAKAMA KUU TANZANIA

 Jaji wa Mahakama Kuu, Agnes Mgeyekwa akipokea ua kutoka kwa afisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Christina Binali kufuatia kuteuliwa kushika wadhifa huo. Mgeyekwa kabla ya kuteuliwa alikuwa Katibu Msaidizi wa Tume.
 Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Casmir Kyuki akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu ya Tanzania.
 Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania Mhe Agnes Mgeyekwa akitoa neno kwa watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria
 Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Khalist Luanda akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu Tanzania
 Naibu Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Asangye Bangu akizungumza wakati wa kumpongeza Agnes Mgeyekwa kuteuliwa Jaji wa Mhakama Kuu. Bangu ni mume wa mhe. Mgeyekwa
 Familia ya mhe. Jaji Agnes Mgeyekwa 
 Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria wakiwa katika picha ya pamoja na mhe. Jaji Agnes Mgeyekwa  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad