HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 6, 2018

RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UKUTA UNAOZUNGUKA ENEO LA MGODI WA TANZANITE MIRERANI LEO

Askari wa usalama barabarani akiuelekeza njia msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akikagua ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara kabla ya kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi ikiwa ni ishara ya kukabidhiwa rasmi ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara wakati wa sherehe za  kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akionedha hati aliyopokea kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi ikiwa ni ishara ya kukabidhiwa rasmi ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara wakati wa sherehe za  kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisaidia kumweka kitini Mzee Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa madini ya Tanzanite, wakati wa uzinduzi  rasmi   wa ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara wakati wa sherehe za  kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018. Pamoja na kutambua kazi yake ya kutukuka Rais Magufuli amemzawadia Mzee Ngoma shilingi milioni 100. Kushoto ni binti wa Mzee Ngoma, Asha Ngoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akikabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya wakaazi wa Simanjiro  wakati wa uzinduzi  rasmi   wa ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara wakati wa sherehe za  kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na viongozi wengine wakimsikiliza Mzee Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa madini ya Tanzanite, alipokuwa akimshukuru kwa kutambua kazi yake na hatimaye kumzawadia shilingi milioni 100 wakati wa uzinduzi  rasmi   wa ukuta uliojengwa kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite eneo la Mirerani mkoani Manyara wakati wa sherehe za  kuuzindua ukuta huo wenye uerefu wa kilomita 24.5 leo Aprili 6, 2018. Kushoto ni binti wa Mzee Ngoma, Asha Ngoma
  Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya shukrani Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo baada ya jeshi hilo kukamilishi mbele ya wakati ujenzi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi kitambulisho cha Taifa mmoja wa wamiliki wa migodi ya Tanzanitehati ya shukrani Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Jenerali Venance Mabe ili kuwawezesha kupata ruksa ya kuingia na kufanya kazi ndani ya eneo lililozungukwa na ukuta  eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018 .
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akifunua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli na viongozi wengine wakipata maelezo ya madini ya Tanzanite yanavyochakatwa wakati wa uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli na viongozi wengine katika picha ya pamoja na watendaji wa JWTZ na JKT  waliosimamia kazi za ujenzi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli katika picha na mvumbuzi wa madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  wakati wa uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la mgodi wa madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad