HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 7, 2018

PROF. MBARAWA AWATAKA WATENDAJI KUTUMIA HEKIMA KUONGOZA

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa , akikata utepe kuzindua rasmi taarifa ya Klaimatolojia ya mwaka 2017, wakati alipofungua baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), linalofanyika Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt. Agnes Kijazi.
 Wajumbe wa Mkutano wa baraza la Wafanyakazi  wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (hayupo pichani), wakati wa ufunguzi wa baraza hilo mkoani Dodoma.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kulia), akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Nchini (TMA), Dkt. Agness Kijazi mara baada ya ufunguzi wa  baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka hiyo Mkoani Dodoma.
 Afisa Utumishi Mkuu aliyemuwakilisha Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Sekta ya Uchukuzi, Banaga Katabazi, akitoa shukrani mara baada ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (hayupo pichani) kufungua baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), linalofanyika Mkoani Dodoma.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali Hewa Nchini (TMA), mara baada ya kulifungua Mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad