HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 8, 2018

JAJI KIONGOZI AWAAPISHA IGP SIRRO NA KAMISHNA CHOGERO KUWA WAJUMBE WA TUME YA UTUMISHI WA POLISI NA MAGEREZA

 Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akiapa mbele ya Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro (kulia),  akipokea hati ya kiapo kutoka kwa  Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha  kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Kamishna wa Uhamiaji, Edward Chogero (kulia),  akipokea hati ya kiapo kutoka kwa  Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha  kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari,akizungumza na Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro(kulia) na Kamishna wa Uhamiaji,Edward Chogero (kulia), baada ya kuwaapisha kuwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza.Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.Picha na Jeshi la Polisi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad