HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 1, 2018

MFANYABIASHARA WA NGUAO KARIAKOO AJISHINDIA MILIONI 60 ZA TATUMZUKA


Mwakilishi wa TatuMzuka,Kemi Mutahaba akimkabidhi mfano wa hundi Bi Neema  Mtewele (38),ambaye ni mfanyabiashara wa nguo za akina mama Kariakoo jijini Dar Es Salaam,aliyeibuka na kitita cha shilingi milioni 60 za TatuMzuka mwishoni mwa wiki.
Neema  Mtewele (38),ambaye ni mfanyabiashara wa nguo za akina mama Kariakoo jijini Dar Es Salaam,akifafanua mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani),namna alivyofanikiwa kushinda mamilioni hayo ya Mchezo wa kubahatisha wa Tatumzuka.Neema alisema kuwa amekuwa akiucheza muda mrefu mchezo huo bila mafanikio,lakini hakukata tamaa,alindelea kucheza na hatimae akabahatika kuibuka mshindi wa milioni 60.

"Hizi fedha kwakweli matumizi yake makubwa yatakuwa ni kuendeleza na kuunyanyua zaidi mtaji wangu niliokuwa nao kwenye biashara yangu,bado nahitaji kuikuza zaidi biashara yangu",alisema Neema huku akionesha furaha ya wazi kwa kushinda kitita hicho cha milioni 60.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad