HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 10, 2017

YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Azzan Zungu akiingia bungeni tayari kuongoza Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Wabunge wakiwa wamesimama wakati wa dua ya kuiombea nchi na bunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Capt(Mst) George Mkuchika akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati  wa Mkutano wa Tisa wa kikao cha nne cha Bunge hilo leo Mkoani Dodoma.
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Jumaa Aweso akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Hamisi Kigwangalla akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Madini Mhe.Stanslaus Nyongo akitoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali za wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati Mhe.Subira Mgalu akitoa maelezo ya maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.
Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe.Dk.Mary Mwanjelwa akijibu hoja  mbalimbali ya wabunge wakati wa Mkutano wa tisa wa  kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania leo Mjini  Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad